Jumatano, 21 Septemba 2016

HABARI ZA ULIMWENGU

Mzee aliye na watoto 70  na wajukuu 300 Tanzania

Nchini Tanzania katika mkoa wa Arusha wilayani Monduli, 
mzee mwenye zaidi ya miaka 100 ana watoto zaidi ya 70 na wajukuu 300.
Mzee Meshuko Ole Mapi, almaarufu Mzee Laibon, amelazimika kuwa
 na shule yake na soko kwa ajili ya jamii yake hiyo na anasema bado 
ana azma ya kuendelea kuoa,Watu kutoka mataifa mbali
 mbali hufika kumtembelea mzee huyo kama sehemu ya utalii.
Na Mwandishi wa BBC Esther Namuhisa alimtembelea mzee 
huyo Kaskazini mwa Tanzania.

 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

TUAMBIE

Theme Support