Jumatatu, 31 Machi 2014

USAFIRI WA KUSINI UTATUMALIZA

Mwendo kasi wa magari barabara ya kwenda kusini wasababisha ajali mbaya Kibiti wilaya ya Rufiji mkoani Pwani na kusababisha vifo vya watu 22,ajali hii imeusisha magari yapatayao tano moja ikiwa gari ndogo ya abiria (haice )

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

TUAMBIE

Theme Support